Sunday, April 21, 2013

huyu ndo Mwalimu Nyerere alisema tumuogope kama ukoma

Nimeshangaa sana chama kinakuwa na watu wenye confidence ya kufanya mambo yasiyo sawa kupitia kutoa kauli mbovu,alafu wanashangiliwa sana na wasiojua matokeo ya kauli hizo, hapa hakuna usalama hata kidogo, hii haina usalama ndani yake , hizi kauli za kijinga hasa kutoka kwa wale wanaofikiria kuwa kaskazin ndo bora kuliko sehem nyingine za tanzania nasema wamepotoka saana, huo msimamo wa majimbo na kutaka kujitenga si msimamo mzuri kwa nchi ambayo bado tunamatatizo ya njaa, rushwa, uwajibikaji mdogo, sasa mnataka kutuongezea mzigo wa kutatua tatizo la ukabira na ujimbo, yaan mnaweza kujitenga hasa kwa ulevi wa madaraka na sera za vijiwen lakin jua hamtabaki salama, maana mnaojiita wa kaskazini na mkawabagua wa kusini mtajikuta kumbe si wamoja maana kuna wachaga, wapare, wa barbaig, wa arumeru, wa masaai, wa irak,eee,ni weng sana sasa mtakuta kuna WAKASKAZINI NA WAKASIKUSIN maan bila kupata msaada wa kusini kuna ambao hawata survive, MI NAONA HUYU TUMUOGOPE KAMA UKOMA KAMA ALIVYOSEMA MWALIMU NYERERE

No comments:

Post a Comment